forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
424 B
Markdown
16 lines
424 B
Markdown
|
# Mambo haya yanawezekanaje?
|
||
|
|
||
|
hili ni swali mbalaga ambalo linalosisitiza sentesi. "Hii hawezekani!" au" Hili haliwezi kutokea!"
|
||
|
|
||
|
# Wewe ni mwalimu wa Israeli na hauyajui mambo haya?
|
||
|
|
||
|
Hili ni swali mbagala ambalo linaonyesha msisitizo. "weweni mwalimu wa Israeli , na ninashangaa kwamba haufahamu maneno haya!"
|
||
|
|
||
|
# Amini, amini
|
||
|
|
||
|
Tafsiri kama ulivyotafsiri.
|
||
|
|
||
|
# twazungumza
|
||
|
|
||
|
Yesu aliposema "sisi' hakuwa anamjumuisha Nikodemo.
|