sw_tn/jhn/02/23.md

365 B

Basi alikuwa Yerusalemu

Neno basi linatutambulisha katika tukio jingine katika hadithi

wakaalimini jina lake

Hapa "jina" ni neno linalowakilisha utu wa Yesu. "aminini" au "kuamini katika yeye."

ishara za maajabu

Miujiza inaweza kuitwa "ishara" kwa sababu yanatumiwa kama ushahidi kwamba Mungu ni mwenye nguvu ambaye aliye na mamlaka kamili juu ya dunia.