forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
365 B
Markdown
12 lines
365 B
Markdown
|
# Basi alikuwa Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
Neno basi linatutambulisha katika tukio jingine katika hadithi
|
||
|
|
||
|
# wakaalimini jina lake
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina" ni neno linalowakilisha utu wa Yesu. "aminini" au "kuamini katika yeye."
|
||
|
|
||
|
# ishara za maajabu
|
||
|
|
||
|
Miujiza inaweza kuitwa "ishara" kwa sababu yanatumiwa kama ushahidi kwamba Mungu ni mwenye nguvu ambaye aliye na mamlaka kamili juu ya dunia.
|