sw_tn/jhn/02/13.md

580 B

Maneno ya jumla:

Yesu na wanafunzi wake wanapanda kwenda Yerusalemu kwenye hekalu.

juu hadi Yerusalemu

Hii inamaasha kuwa walisafiri kutoka kwenye mwinuko kwenda chini. Yerusalemu imejengwa juu ya kilima.

ndani ya hekalu

inamaanisha sehemu ya nje ya hekalu mahali ambapo wasio wayahudi waliruhusiwa kuabudu.

wale waliouza

watu waliweza kununua hekaluni na kuwadhabihu kwa ajili ya kumuheshimu Mungu.

wabadili fedha

Mamlaka ya Kiyahudi iliitaji watu ambao walihitaji kununua wanyama kwa ajili ya dhabihu kubadilisha pesa zao kutoka kwa wabadilishaji wa fedha.