sw_tn/jhn/02/13.md

20 lines
580 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Maneno ya jumla:
Yesu na wanafunzi wake wanapanda kwenda Yerusalemu kwenye hekalu.
# juu hadi Yerusalemu
Hii inamaasha kuwa walisafiri kutoka kwenye mwinuko kwenda chini. Yerusalemu imejengwa juu ya kilima.
# ndani ya hekalu
inamaanisha sehemu ya nje ya hekalu mahali ambapo wasio wayahudi waliruhusiwa kuabudu.
# wale waliouza
watu waliweza kununua hekaluni na kuwadhabihu kwa ajili ya kumuheshimu Mungu.
# wabadili fedha
Mamlaka ya Kiyahudi iliitaji watu ambao walihitaji kununua wanyama kwa ajili ya dhabihu kubadilisha pesa zao kutoka kwa wabadilishaji wa fedha.