forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
580 B
Markdown
20 lines
580 B
Markdown
|
# Maneno ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Yesu na wanafunzi wake wanapanda kwenda Yerusalemu kwenye hekalu.
|
||
|
|
||
|
# juu hadi Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaasha kuwa walisafiri kutoka kwenye mwinuko kwenda chini. Yerusalemu imejengwa juu ya kilima.
|
||
|
|
||
|
# ndani ya hekalu
|
||
|
|
||
|
inamaanisha sehemu ya nje ya hekalu mahali ambapo wasio wayahudi waliruhusiwa kuabudu.
|
||
|
|
||
|
# wale waliouza
|
||
|
|
||
|
watu waliweza kununua hekaluni na kuwadhabihu kwa ajili ya kumuheshimu Mungu.
|
||
|
|
||
|
# wabadili fedha
|
||
|
|
||
|
Mamlaka ya Kiyahudi iliitaji watu ambao walihitaji kununua wanyama kwa ajili ya dhabihu kubadilisha pesa zao kutoka kwa wabadilishaji wa fedha.
|