sw_tn/jhn/01/35.md

8 lines
257 B
Markdown

# Tena, siku iliyofuata
Hii ni siku nyingine. Ilikuwa ni siku ya pili Yohana alipomwona Yesu.
# Mwanakondoo wa Mungu
Huu ni mfano ni mfano ambao unawakilisha dhabihu timilifu. Yesu ni Mwanakondoo wa Mungu kwa sababu alidhabihiwa kulipa dhambia za watu.