sw_tn/jhn/01/35.md

257 B

Tena, siku iliyofuata

Hii ni siku nyingine. Ilikuwa ni siku ya pili Yohana alipomwona Yesu.

Mwanakondoo wa Mungu

Huu ni mfano ni mfano ambao unawakilisha dhabihu timilifu. Yesu ni Mwanakondoo wa Mungu kwa sababu alidhabihiwa kulipa dhambia za watu.