forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
371 B
Markdown
20 lines
371 B
Markdown
# shuka
|
|
|
|
"shuka chini"
|
|
|
|
# kama njiwa
|
|
|
|
hili ni neno lenye lugha ya picha . "Roho " anashuka chini kama vile ambavyo njiwa ashukavyo kwa mtu.
|
|
|
|
# mbinguni
|
|
|
|
Neno "mbingu" linamaanisha "anga."
|
|
|
|
# Mwana wa Mungu
|
|
|
|
Baadhi ya nakala za kifungu hiki husema "Mwana wa Mungu": wengine husema " mchaguliwa wa Mungu."
|
|
|
|
# Mwana wa Mungu
|
|
|
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.
|