sw_tn/jhn/01/32.md

20 lines
371 B
Markdown

# shuka
"shuka chini"
# kama njiwa
hili ni neno lenye lugha ya picha . "Roho " anashuka chini kama vile ambavyo njiwa ashukavyo kwa mtu.
# mbinguni
Neno "mbingu" linamaanisha "anga."
# Mwana wa Mungu
Baadhi ya nakala za kifungu hiki husema "Mwana wa Mungu": wengine husema " mchaguliwa wa Mungu."
# Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.