sw_tn/jhn/01/32.md

371 B

shuka

"shuka chini"

kama njiwa

hili ni neno lenye lugha ya picha . "Roho " anashuka chini kama vile ambavyo njiwa ashukavyo kwa mtu.

mbinguni

Neno "mbingu" linamaanisha "anga."

Mwana wa Mungu

Baadhi ya nakala za kifungu hiki husema "Mwana wa Mungu": wengine husema " mchaguliwa wa Mungu."

Mwana wa Mungu

Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.