forked from WA-Catalog/sw_tn
371 B
371 B
shuka
"shuka chini"
kama njiwa
hili ni neno lenye lugha ya picha . "Roho " anashuka chini kama vile ambavyo njiwa ashukavyo kwa mtu.
mbinguni
Neno "mbingu" linamaanisha "anga."
Mwana wa Mungu
Baadhi ya nakala za kifungu hiki husema "Mwana wa Mungu": wengine husema " mchaguliwa wa Mungu."
Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.