sw_tn/jhn/01/29.md

366 B

Mwanakondoo wa Mungu

Huuu ni mfano ambao unawakilisha Utimilifu wa dhabihu kamilifu ya Mungu. Yesu anaitwa "Mwanakondoo wa Mungu" kwa sababu alikuwa dhabihu kwa ajili ya dhambi za watu.

dunia

neno "dunia" ni neno ambalo linalojumuisha watu wote duniani.

ajaye nyuma yangu, ni mkuu, kwa maana amekuwapo kabala yangu

Tafsili hili kama ulitafsiri 1:14:1:15