forked from WA-Catalog/sw_tn
366 B
366 B
Mwanakondoo wa Mungu
Huuu ni mfano ambao unawakilisha Utimilifu wa dhabihu kamilifu ya Mungu. Yesu anaitwa "Mwanakondoo wa Mungu" kwa sababu alikuwa dhabihu kwa ajili ya dhambi za watu.
dunia
neno "dunia" ni neno ambalo linalojumuisha watu wote duniani.
ajaye nyuma yangu, ni mkuu, kwa maana amekuwapo kabala yangu
Tafsili hili kama ulitafsiri 1:14:1:15