forked from WA-Catalog/sw_tn
393 B
393 B
Maelezo kwa jumla:
mstari wa 28 unatwambia habari za nyuma kuhusu mwanzo wa hadithi.
Huyu ndiye ajaye baada yangu
AT: " Atawahubiri baada ya mimi kuondoka"
Mimi sisitahili "kufungua gidamu ya viatu vyake
kazi ya kufungua viatu vyake " ambayo ni kazi ya mtumwa au mja kazi ni fumbo. Johana nasema kuwa hasitahili kumfanyia Yesu kazi hata ile ya chini kabisa liyofanywa na watumwa.