sw_tn/jhn/01/26.md

393 B

Maelezo kwa jumla:

mstari wa 28 unatwambia habari za nyuma kuhusu mwanzo wa hadithi.

Huyu ndiye ajaye baada yangu

AT: " Atawahubiri baada ya mimi kuondoka"

Mimi sisitahili "kufungua gidamu ya viatu vyake

kazi ya kufungua viatu vyake " ambayo ni kazi ya mtumwa au mja kazi ni fumbo. Johana nasema kuwa hasitahili kumfanyia Yesu kazi hata ile ya chini kabisa liyofanywa na watumwa.