sw_tn/jhn/01/22.md

581 B

Kiunganishi cha sentesi:

Johana anaendela kuongea na makuhani na walawi.

wakamwambia

"makuhani na Walawi wakamwambia Yohana>"

sisi...sisi

Makuhani na Walawi, sio Yohana.

Akasema

"Yohana akasema"

Mimi ni sauti aliaye nyikani

Neno "sauti" ni mfano ambao unamwakilisha Yohana na ujumnbe wake. AT: Mimi ni kama mtu ongea kwa sauti mbapo hakuna mtu yeyote anaweza kunisikia.

Inyosheni njiai ya Bwana

Hapa neno "njia" limetumika kama mfanoAT: Jiandae mwenyewe kwa ajili ya ujio wa Bwana kama vile ambavyo watu waandaavyo barabara kwa ajili ya ujio wa mtu muhimu.