sw_tn/jhn/01/19.md

515 B

Wayahudi walitumwa kwake kutoka Yerusalemu

Hapa mwandishi anatumia mfano. Neno "Wayahudi" limetumika kwa kuwakilisha "Viongozi wa Kiyahudi." AT:" Viongozi wa Kiyahudi waliwatuma kwake kutoka Yerusalemu.

Yeye alisema wazi, wala hakukana

Neno la pili linaeleza maneno hasi ambayo neno la kwanza linachokisema katika mtazamo chanya. Hii inasisitiza kuwa Yohana alikuwa akisema kweil.AT: "Aliwambia ukweli bila woga".

U nani?

AT: "U nani ni kama sio Masihi"? au " Nini kinachoendelea?" au " Unafanya nini."