forked from WA-Catalog/sw_tn
448 B
448 B
utimilifu
Huli neno linamaanisha kwa neema ya Mungu ambayo haina mwisho.
kipawa cha bure baada ya kingine
"baraka baada ya baraka"
aliye mwanadamu pekee, ambaye ni Mungu
Hii inaweza kumaanisha1)aliye Mungu wa wa pekee" au" 2) yeye aliye Mwana wa pekee,"
aliye katika kifua cha Baba
Neno "kifua" ni mfano . Hii inamaanisha kuwa Yesu ndiye aliye karibu na Baba" ikimaanisha ushusino wa karibu.
Baba
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu.