sw_tn/jhn/01/16.md

448 B

utimilifu

Huli neno linamaanisha kwa neema ya Mungu ambayo haina mwisho.

kipawa cha bure baada ya kingine

"baraka baada ya baraka"

aliye mwanadamu pekee, ambaye ni Mungu

Hii inaweza kumaanisha1)aliye Mungu wa wa pekee" au" 2) yeye aliye Mwana wa pekee,"

aliye katika kifua cha Baba

Neno "kifua" ni mfano . Hii inamaanisha kuwa Yesu ndiye aliye karibu na Baba" ikimaanisha ushusino wa karibu.

Baba

Hiki ni cheo muhimu cha Mungu.