sw_tn/jhn/01/10.md

309 B

Alikuwapo duniani, na kwa yeye ulimwengu ulipata kuwepo, lakini ulimwengu haukumjua

AT: "Lakini pamoja kwamba alikuwa ulimwenguni, na kwamba Mungu aliumba vitu vyote kwa yeye, bado watu hakumtambua."

alikuja kwa vitu vyake, na watu wake hawakumpokea

AT: "Alikuja kwa wenzake , na wenzake hwakumpokea."