# Mlima
Bwana anazungumza na Babeli kama vile ulikuwa mlima anaoweza kuzungumza nao kama mtu. "taifa lenye nguvu"
# Wengine
Hawa ni watu wote ambao wamevamiwa na Babeli.
# Maporomoko
Maporomoko ni mteremko mkali wa mlima au kilima.