forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
501 B
Markdown
28 lines
501 B
Markdown
# Upanga uko juu ya Wakaldayo
|
|
|
|
"maadui wanakuja juu ya Wakaldayo"
|
|
|
|
# Hili ndilo analosema Bwana
|
|
|
|
"Alilosema Bwana"
|
|
|
|
# walijidhihirisha kama wapumbavu
|
|
|
|
Neno "kujidhihirisha" linaonesha kuwa matendo yao yalikuwa ya kipumbavu na watawekwa wazi ili kila mtu awaone.
|
|
|
|
# watajawa na hofu
|
|
|
|
"hofu itawajaa"
|
|
|
|
# watakuwa kama wanawake
|
|
|
|
"watakuwa dhaifu kama wanawake"
|
|
|
|
# Chumba cha kuhifadhia
|
|
|
|
Chumba cha kuhifadhia ni sehemu ambayo vitu vya thamani vinawekwa.
|
|
|
|
# Watachukuliwa nyara
|
|
|
|
"maadui watawateka nyara"
|