forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
439 B
Markdown
24 lines
439 B
Markdown
# Tazama
|
|
|
|
Neno hili linatambulisha kitu hivyo umakini unahitajika.
|
|
|
|
# Wanaojivuna
|
|
|
|
Bwana anawaelezea hivi watu wa Babeli.
|
|
|
|
# Kwa kuwa siku yako imekuja ... muda ambao nitakuadhibu
|
|
|
|
Sentensi hizi zina maana inayofanana. "Kwa kuwa siku nitakayokuadhibu imefika"
|
|
|
|
# Siku yako
|
|
|
|
Hii inaonesha muda ambao adhabu kubwa itakuja juu ya Babeli.
|
|
|
|
# Nitaangaza
|
|
|
|
Bwana ataangaza
|
|
|
|
# Moto katika miji yao
|
|
|
|
Hii inaonesha namna ambavyo uharibifu utatokea.
|