forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
476 B
Markdown
16 lines
476 B
Markdown
# Adui atapaa kama tai na kutandaza mabawa yake
|
|
|
|
Hii inalifananisha jeshi lenye nguvu litaivamia Moabu na kuiteka kama vile tai anaposhuka chini na kukamata mawindo.
|
|
|
|
# Keriothi.
|
|
|
|
Ni mji katika Moabu.
|
|
|
|
# Keriothi imekamatwa na ngome zake zimetekwa
|
|
|
|
"Adui wameikamata Keriothi na kuteka ngome zake"
|
|
|
|
# siku ile moyo wa askari wa Moabu ... wanawake wenye uchungu
|
|
|
|
Sentensi hii inaonesha kuwa hofu itawapata askari wa Moabu kama hofu ambayo wanawake huipata wanapokaribia kuzaa.
|