forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
340 B
Markdown
12 lines
340 B
Markdown
# Maporomoko
|
|
|
|
Maporomoko ni sehemu yenye mteremko mkali katika mlima.
|
|
|
|
# Kinywa cha shimo katika miamba
|
|
|
|
Huu ni uwazi uliopo katika miamba kama sehemu ya kuingilia katika pango.
|
|
|
|
# Kiburi ... jeuri ... majivuno ... utukufu ... kujifurahisha moyoni mwake
|
|
|
|
Maneno haya yana maana inayofanana kwa pamoja yanasisitiza kiburi cha watu wa Moabu.
|