forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
381 B
Markdown
24 lines
381 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Yeremia anaendelea kuzungumza juu ya uharibifu wa Moabu.
|
|
|
|
# Horonaimu
|
|
|
|
Hili ni jina la mji uliopo kusini mwa Moabu.
|
|
|
|
# uharibifu na maangamizo makubwa
|
|
|
|
Maneno haya yana maana inayofanana. Yanasisitiza uharibifu.
|
|
|
|
# Watoto wake
|
|
|
|
Hawa ni watu wa Moabu.
|
|
|
|
# Luhithi
|
|
|
|
Hili ni jina la mahali huko Moabu.
|
|
|
|
# Kwa sababu ya uharibifu
|
|
|
|
"kwa sababu ya uharibifu wa mji."
|