forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
443 B
Markdown
16 lines
443 B
Markdown
# Amoni wa Tabesi
|
|
|
|
Amoni ni mfalme wa miungu ya Misri. Tabesi ni mji mkuu wa Misri na hapa inawakilisha himaya yote ya Misri.
|
|
|
|
# Ninawaweka ... kwenye mkono ya Nebukadreza na watumishi wake
|
|
|
|
Hapa Nebukadreza anawakilisha taifa zima la Babeli na "mkono" inawakilisha "kutawala"
|
|
|
|
# Baada ya hayo Misri itakaliwa kama zamani
|
|
|
|
"Baada ya adhabu ya Bwana taifa la Misri litarudi na kuwa huru."
|
|
|
|
# Hivi ndivyo alivyosema Bwana.
|
|
|
|
"Alichokisema Bwana"
|