forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
931 B
Markdown
32 lines
931 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Yeremia anaendelea kunukuu maneno ya Bwana kwa taifa la Misri.
|
|
|
|
# Huyu ni nani anayeinuka kama mto Nile
|
|
|
|
"Misri anainuka kama mto Nile." Bwana anauliza hili swali ili kuwafanya wasikilizaji wawe makini na taifa la Misri.
|
|
|
|
# Misri imeinuka kama mto Nile
|
|
|
|
Jeshi la Misri linasababishwa na uharibifu unaosababishwa na mafuriko ya mto Nile.
|
|
|
|
# Unasema
|
|
|
|
Hapa nchi ya Misri inazungumza kama mtu azungumzapo.
|
|
|
|
# "Nitakwenda juu; nitaifunika nchi. Nitaharibu mji na wakaao ndani yake."
|
|
|
|
Hapa taifa la Misri linajisifu na kusema kuwa jeshi lake litaharibu dunia kama mafuriko.
|
|
|
|
# kwenda juu, farasi. kukasirika, magari yenu.
|
|
|
|
Bwana anaamuri farasi na magari kama vile anaamuru watu. maneno haya "farasi" na "magari" yamezungumziwa kama sehemu ya vita.
|
|
|
|
# Kushi ... Puti ... Ludimu
|
|
|
|
Haya ni majina ya biblia ya nchi za Ethiopia, Libya na Lydia.
|
|
|
|
# kukunja pinde zao
|
|
|
|
Hiki ni kitendo cha kuupindisha upinde wenye mshale.
|