forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
421 B
Markdown
24 lines
421 B
Markdown
# Hivi ndivyo utakavyomwambia
|
|
|
|
Bwana anamwambia Yeremia jambo atakalomwambia Baruku.
|
|
|
|
# Hii ni kweli juu ya dunia yote
|
|
|
|
"hili litatokea juu ya dunia yote"
|
|
|
|
# Lakini je mmetegemea mambo makuu kwa ajili yenu wenyewe?
|
|
|
|
"mmetegemea kufanya mambo makuu kwa ajili yenu wenyewe"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"kuwa makini"
|
|
|
|
# nyara
|
|
|
|
Vitu vilivyoibiwa mahali kwa nguvu
|
|
|
|
# maisha yako kama nyara
|
|
|
|
"Nitawaruhusu muishi. Hivyo ndivyo mtakavyotegemea.
|