sw_tn/jer/44/13.md

8 lines
183 B
Markdown

# upanga, njaa na tauni
Neno "upanga" linaelezea vita.
# wakimbizi au waliopona
Haya maneno yote yanafanana. Mkimbizi ni mtu anayemtoroka mtu anayetaka kumuua au kumchukua mateka.