forked from WA-Catalog/sw_tn
325 B
325 B
Kwa nini unafanya uovu mkuu juu yao? Kwa nini mnajikatilia wenyewe kati ya Yuda - wanaume, wanawake na watoto?
Bwana anatumia maswali haya kuwaambia wana wa Israeli kuwa wanapaswa kuacha kufanya mambo yatakayosababisha wahukumiwe.
matendo ya mikono yenu
"kwa mliyoyafanya"
mtaangamizwa
"mnasababisha niwaangamize"