forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
325 B
Markdown
12 lines
325 B
Markdown
|
# Kwa nini unafanya uovu mkuu juu yao? Kwa nini mnajikatilia wenyewe kati ya Yuda - wanaume, wanawake na watoto?
|
||
|
|
||
|
Bwana anatumia maswali haya kuwaambia wana wa Israeli kuwa wanapaswa kuacha kufanya mambo yatakayosababisha wahukumiwe.
|
||
|
|
||
|
# matendo ya mikono yenu
|
||
|
|
||
|
"kwa mliyoyafanya"
|
||
|
|
||
|
# mtaangamizwa
|
||
|
|
||
|
"mnasababisha niwaangamize"
|