forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
724 B
Markdown
28 lines
724 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Yeremia anaendelea kuongea na mfalme Sedekia.
|
|
|
|
# Wanawake wote waliosalia ... watatolewa nje kwa wakuu wa mfalme wa Babeli
|
|
|
|
"askari watawatoa nje wanawake wote waliosalia ... nje kwa wakuu wa mfalme wa Babeli"
|
|
|
|
# Umedanganywa na rafiki zako
|
|
|
|
"Rafiki zako wamekudanganya"
|
|
|
|
# Miguu yako inazama katika matope
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa mfalme yupo katika wakati mgumu.
|
|
|
|
# Kwa kuwa wake zako na watoto wako wateletwa nje kwa Wakaldayo
|
|
|
|
"Askari watawaleta wake zako na watoto wako nje kwa Wakaldayo"
|
|
|
|
# Hawatakimbia toka katika nchi yao
|
|
|
|
"hawatakimbia toka kwenye utawala wao"
|
|
|
|
# Utakamatwa kwa mkono wa mfalme wa Babeli, na mji huu utachomwa moto.
|
|
|
|
"Jeshi la mfalme wa Babeli litakukamata na kuuchoma moto mji.
|