sw_tn/jer/37/09.md

12 lines
245 B
Markdown

# Msijidanganye wenyewe
Neno "wenyewe" linawaelezea mfalme Sedekia na watu wote wa Yuda.
# Hakika Wakaldayo wanatuacha
Watu wa Yuda wanafikiri kuwa watakuwa salama kwa sababu Wakaldayo wameondoka.
# watainuka
"watu waliojeruhiwa watainuka"