forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
245 B
Markdown
12 lines
245 B
Markdown
|
# Msijidanganye wenyewe
|
||
|
|
||
|
Neno "wenyewe" linawaelezea mfalme Sedekia na watu wote wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Hakika Wakaldayo wanatuacha
|
||
|
|
||
|
Watu wa Yuda wanafikiri kuwa watakuwa salama kwa sababu Wakaldayo wameondoka.
|
||
|
|
||
|
# watainuka
|
||
|
|
||
|
"watu waliojeruhiwa watainuka"
|