forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
390 B
Markdown
20 lines
390 B
Markdown
# Neno la Bwana lilikuja
|
|
|
|
Bwana alizungumza neno lake
|
|
|
|
# mtasema
|
|
|
|
Maneno haya yanazungumzwa na watu wawili ambao mfalme Sedekia aliwatuma kwa Yeremia.
|
|
|
|
# Kuomba ushauri kwangu
|
|
|
|
Neno "kwangu" linamuelezea Bwana.
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Neno hili linaongeza msisitizo wa ktu kinachofuata.
|
|
|
|
# Watapigana dhidi ya mji huu, wataukamata na kuuchoma moto.
|
|
|
|
"kupanga vita dhidi yao, kuuchukua na kuuchoma moto"
|