sw_tn/jer/36/16.md

662 B

Ikatokea kwamba

Maneno haya yanaonesha umuhimu wa tukio katika simulizi.

Wao waliposikia

Neno "wao" linamaanisha wakuu.

Maneno haya yote

maneno yote ambayo Baruku aliyasoma kwa nguvu toka kwenye kitabu.

Uliyaandikaje

"uliyaandika kwa namna gani"

Aliyosomewa na Yeremia

"Yeremia alipokuwa akizungumza, Baruku aliandika maneno yote ambayo Bwana aliyazungumza kwa Yeremia"

Kusema

Yeremia alizungumza kwa nguvu ili Baruku aandike maneno yake.

kuyaandika na wino

"alitumia wino kuandika"

wino

Wino mweusi unaotumika kuandikia

Na Yeremia pia

"Yeremia pia anatakiwa ajifiche."

Mko wapi

Maneno haya yanawaelezea Baruku na Yeremia.