sw_tn/jer/34/20.md

306 B

Wanaoutafuta uhai wao.

"Wanaotafuta kuwaua."

Hili ni tangazo la Yahwe.

Tangazo la Yahwe ambalo Yahwe ametangaza; au ni kile ambacho yahwe amessema

Ambayo yameinuka dhidi yenu.

"Yamekuja kupigana dhidi yenu."

Na nitawarudisha.

Hapa neno "wao" linamaana ya majeshi ya adui wa taifa la babeli.