forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
341 B
Markdown
16 lines
341 B
Markdown
# Hili ni tangazo la Yahwe.
|
|
|
|
Angalia sura ya 1: 7
|
|
|
|
# Katika siku hizo na katika wakati huo.
|
|
|
|
Virai "katika siku hizo" na katika wakati huo" yana maana moja.
|
|
|
|
# Nitachipua shina la haki kwa ajili ya Daudi.
|
|
|
|
Wazawa wa kiume wa Daudi. "Mtu mwenye haki atatoka katika uzao wa Daudi kama tawi linalostawi kwenye mti.
|
|
|
|
# Nchi.
|
|
|
|
Taiafa la Israeli.
|