forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
363 B
Markdown
16 lines
363 B
Markdown
# Maelezo ya jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kusema kwa Waisraeli.
|
|
|
|
# Nitaivunja nira ya shingo zenu, na Nitaisambaza minyororo yenu.
|
|
|
|
Maneno haya yote yanaonesha kwamba Yahwe atawaweka huru watu wake wa Israeli dhidi ya utumwa.
|
|
|
|
# Watamwabudu Yahwe.
|
|
|
|
Neno "wata" linataja watu wa uzao wa Yakobo.
|
|
|
|
# kumtumikia Daudi mfalme wao.
|
|
|
|
Hapa anatajwa mmoja wa wazawa wa Daudi.
|