forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
396 B
Markdown
16 lines
396 B
Markdown
# jiandikie mwenyewe katika barua maneno yote niliyotangaza kwako.
|
|
|
|
"Uandike katika barua ujumbe niliousema kwako."
|
|
|
|
# Maana ona.
|
|
|
|
"Tazama sikiliza kwa amakini." Hiki ni kiria kinachodai usikivu kwa kile ambacho Yahwe anaenda kukifanya.
|
|
|
|
# Hili ni tangazo la Yahwe.
|
|
|
|
Angalia ufafanuzi katika sura ya 1:7.
|
|
|
|
# Nitakapowarudisha mateka wa watu wangu.
|
|
|
|
"Nitafanya mambo yaende vyema kwa watu wangu."
|