forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
328 B
Markdown
16 lines
328 B
Markdown
# Shemaya ... Maaseya ... Yehoyada.
|
|
|
|
Haya ni majina ya kiume.
|
|
|
|
# Mnehelami.
|
|
|
|
Hili ni jina la kabila la watu.
|
|
|
|
# Kwa jina lako.
|
|
|
|
"Jina" linamaana ya mamlaka ya mtu na ushuhuda wake. Kwa kuzingatia mamlaka na ushuhuda wako."
|
|
|
|
# Mkatale
|
|
|
|
Huu ni ubao uliochongwa kwa ajili ya kumuadhibia mtu kwa kushikilia miguu, mikono au kichwa.
|