sw_tn/jer/29/24.md

328 B

Shemaya ... Maaseya ... Yehoyada.

Haya ni majina ya kiume.

Mnehelami.

Hili ni jina la kabila la watu.

Kwa jina lako.

"Jina" linamaana ya mamlaka ya mtu na ushuhuda wake. Kwa kuzingatia mamlaka na ushuhuda wako."

Mkatale

Huu ni ubao uliochongwa kwa ajili ya kumuadhibia mtu kwa kushikilia miguu, mikono au kichwa.