|
# Ambao niliwasababisha.
|
|
|
|
"Ambaye aliwasababisha" au "ambao Yahwe aliwasababisha."
|
|
|
|
# Jengeni nyumba na musishi ndani yake, pandeni busitani na mle mataunda yake.
|
|
|
|
Yahwe anawaambia au kuwahakikishia kwamba watakuwemo humo au wataishi humo kwa muda mrefu.
|