forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
668 B
Markdown
32 lines
668 B
Markdown
# Taarifa za jumla
|
|
|
|
Maono ambayo Mungu alimpa nabii Yeremia inaendelea.
|
|
|
|
# kunywa na kulewa, kisha tapika, uanguke, wala usisimame mbele ya upanga nitakaoutuma kati yenu
|
|
|
|
Hii inaonyesha kutokuwepo kwa adhabu ya kuja na ubatili wa kujaribu kuepuka.
|
|
|
|
# kikombe mkononi mwako ili kunywa
|
|
|
|
"adhabu yao"
|
|
|
|
# lazima mnywe
|
|
|
|
Hiki si kikombe ambacho mataifa yanaweza kukataa kunywa. Mataifa hawawezi kukataa hukumu za Mungu za vita na majanga ya asili.
|
|
|
|
# kunywa
|
|
|
|
"kuadhibiwa"
|
|
|
|
# mji unaoitwa na jina langu
|
|
|
|
"watu wa Yerusalemu"
|
|
|
|
# je ninyi mtaachiliwa msiadhibiwe?
|
|
|
|
"unapaswa kuadhibiwa."
|
|
|
|
# nitaita upanga juu ya wenyeji wote wa nchi
|
|
|
|
"Ninawaadhibu wale wanaoishi katika nchi"
|