forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
537 B
Markdown
20 lines
537 B
Markdown
# Taarifa za jumla
|
|
|
|
Bwana anaendelea kusema juu ya watu wa Israeli kama kondoo wake na viongozi wa Israeli kama wachungaji
|
|
|
|
# kwenye eneo la malisho
|
|
|
|
"ambapo mahitaji yao yote yatatolewa"
|
|
|
|
# ambako watazaa na kuongezeka
|
|
|
|
Neno "ongezeko" linaelezea jinsi watakavyokuwa "wenye kuzaa." AT "wataongezeka kwa idadi kubwa."
|
|
|
|
# hivyo hawataogopa tena au kupotezwa
|
|
|
|
Maneno "yamevunjwa" inamaanisha kwamba mtu amewafanya waogope na maana yake ni sawa na "hofu." "Hakuna mtu atakayewaogopa tena."
|
|
|
|
# Hakuna hata mmoja
|
|
|
|
"Hakuna kati ya watu wangu"
|