forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
808 B
Markdown
36 lines
808 B
Markdown
# kiti cha Daudi
|
|
|
|
Hii ina maana ya kuwa na mamlaka ya kifalme, kama vile Daudi alivyokuwa nayo. AT "kutawala kama mfalme, kama Daudi mbele yenu"
|
|
|
|
# kusikiliza neno la Bwana
|
|
|
|
"kuwa makini kwa neno la Bwana"
|
|
|
|
# wewe na watumishi wako, na watu wako
|
|
|
|
"wewe na watumishi wako, na watu wako wanaoishi katika nchi yake"
|
|
|
|
# mnaokuja kwa malango haya
|
|
|
|
Haya ni malango ya jumba la mfalme. AT "ambaye anakuja kumtembelea mfalme"
|
|
|
|
# mkono wa mshindani
|
|
|
|
Neno "mkono" linamaanisha nguvu au udhibiti wa mtu.
|
|
|
|
# Usimtendee mabaya
|
|
|
|
Usimtendee mtu vibaya
|
|
|
|
# yatima
|
|
|
|
mtoto ambaye hana wazazi
|
|
|
|
# Usifanye......kumwaga damu isiyo na hatia
|
|
|
|
"Usifanye ... kuwaua watu wasio na hatia"
|
|
|
|
# mahali hapa
|
|
|
|
"mahali hapa" linamaanisha Yerusalemu, au hata nchi nzima ya Yuda. Hii haina maana kuwa ni vizuri kuua watu katika maeneo mengine.
|