forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
900 B
Markdown
32 lines
900 B
Markdown
# utakuwa kama kinywa changu
|
|
|
|
Yeremia anafananishwa na kinywa cha Bwana kwa sababu atatumiwa kuzungumza ujumbe wa Yahweh. AT "utasema kwa ajili yangu"
|
|
|
|
# wewe mwenyewe
|
|
|
|
Kitaja, "mwenyewe", kinatumiwa hapa ili kusisitiza amri ilikuwa hasa kwa Yeremia.
|
|
|
|
# kama ukuta wa shaba usiowezekana kwa watu hawa
|
|
|
|
Bwana anafananisha Yeremia na ukuta kwa sababu watu hawawezi kumshinda.
|
|
|
|
# watapigana vita dhidi yako. Lakini hawatakushinda
|
|
|
|
"Watapigana nawe, lakini hawatakushinda."
|
|
|
|
# kuokoa......kuwaokoa
|
|
|
|
Maneno "kuokoa" na "kuwaokoa" yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza usalama ambao Mungu anaahidi.
|
|
|
|
# hili ndilo tamko la Bwana
|
|
|
|
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1 7.
|
|
|
|
# kukuokoa kutoka ... na kukukomboa kutoka
|
|
|
|
Maneno haya yana maana sawa na hutumiwa pamoja ili kusisitiza usalama ambao Mungu hutoa.
|
|
|
|
# mshindani
|
|
|
|
mtawala ambaye anadai utii kamili na si wa kirafiki kwa watu chini ya utawala wake
|