sw_tn/jer/15/19.md

900 B

utakuwa kama kinywa changu

Yeremia anafananishwa na kinywa cha Bwana kwa sababu atatumiwa kuzungumza ujumbe wa Yahweh. AT "utasema kwa ajili yangu"

wewe mwenyewe

Kitaja, "mwenyewe", kinatumiwa hapa ili kusisitiza amri ilikuwa hasa kwa Yeremia.

kama ukuta wa shaba usiowezekana kwa watu hawa

Bwana anafananisha Yeremia na ukuta kwa sababu watu hawawezi kumshinda.

watapigana vita dhidi yako. Lakini hawatakushinda

"Watapigana nawe, lakini hawatakushinda."

kuokoa......kuwaokoa

Maneno "kuokoa" na "kuwaokoa" yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza usalama ambao Mungu anaahidi.

hili ndilo tamko la Bwana

Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1 7.

kukuokoa kutoka ... na kukukomboa kutoka

Maneno haya yana maana sawa na hutumiwa pamoja ili kusisitiza usalama ambao Mungu hutoa.

mshindani

mtawala ambaye anadai utii kamili na si wa kirafiki kwa watu chini ya utawala wake