sw_tn/jer/15/08.md

450 B

Taarifa za jumla

Bwana amewaambia kamwe hakuna mtu atakayejali juu yao na kwamba atawaangamiza watu wake kwa sababu hawatageuka njia zao mbaya.

wajane

wanawake ambao waume zao wamekufa

zaidi ya mchanga wa bahari

zaidi ya unavyoweza kuhesabu

kuanguka juu yao

yaliyo wapata

Yeye atakuwa na aibu na kufedheheka

Maneno "aibu" na "kufedheheka" inamaanisha kimsingi kitu kimoja na kusisitiza ukubwa wa aibu. AT "Atakuwa na aibu kabisa."