sw_tn/jer/12/14.md

423 B

wanaopiga

kushambulia na kukamata

aliwafanya watu wangu wa Israeli wamiliki

"aliwapa watu wangu Israeli kama warithi"

kuamgamiza

Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1 9.

nami nitainua nyumba ya Yuda kutoka kati yao

kuruhusu watu wa Yuda kuondoka nchi zao za adui na kurudi kwa Yuda

futa

au "kupoteza"

Ninataangamiza mataifa hayo

"nawafanya mataifa hayo kutoka nchi zao na kuhamia maeneo tofauti"