sw_tn/jer/12/07.md

403 B

Nimeiacha nyumba yangu; Nimeacha urithi wangu. Nimewatia watu wangu wapendwa mikononi mwa adui zake.

Sentensi hizi tatu zina maana sawa. Kwanza na ya pili huimarisha mawazo ya tatu. (Angalia "Ulinganifu) "Nimewaacha adui za watu wangu kuwashinda."

hiena

aina ya mbwa kutoka Asia na Afrika ambayo inakula mwili wa wanyama waliokufa

ndege wa mawindo

ndege ambazo wanashambulia na kula wanyama