forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
403 B
Markdown
12 lines
403 B
Markdown
|
# Nimeiacha nyumba yangu; Nimeacha urithi wangu. Nimewatia watu wangu wapendwa mikononi mwa adui zake.
|
||
|
|
||
|
Sentensi hizi tatu zina maana sawa. Kwanza na ya pili huimarisha mawazo ya tatu. (Angalia "Ulinganifu) "Nimewaacha adui za watu wangu kuwashinda."
|
||
|
|
||
|
# hiena
|
||
|
|
||
|
aina ya mbwa kutoka Asia na Afrika ambayo inakula mwili wa wanyama waliokufa
|
||
|
|
||
|
# ndege wa mawindo
|
||
|
|
||
|
ndege ambazo wanashambulia na kula wanyama
|