forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
596 B
Markdown
24 lines
596 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
BWANA anaendelea kuongea juu ya watu wa Yuda.
|
|
|
|
# binti wa watu wangu
|
|
|
|
Tazama 4:11
|
|
|
|
# Ndimi zao ni mishale iliyochongoka
|
|
|
|
Ndimi huumiza watu kwa uongo katika njia sawa na mishale iliyochongoka inavyoumiza
|
|
|
|
# Kwa midomo yao wanatangaza amani pamoja na jirani zao
|
|
|
|
"Wanasema kwa maneno yao kuwa wanataka amani na majirani zao."
|
|
|
|
# lakini katika mioyo yao wanadanganya wakati wa kusubiri
|
|
|
|
"lakini katika uhalisia wanataka kuwaangamiza jirani zao."
|
|
|
|
# Kwa nini nisiwaadhibu kwa sababu ya mambo haya ... kwa nini nisijilipizie kisasi kwa taifa ambalo liko kama hili?
|
|
|
|
Tazama 5:7
|