forked from WA-Catalog/sw_tn
48 lines
834 B
Markdown
48 lines
834 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
BWANAanaendelea kuelezea maovu ambayo watuwa Yuda wamefanya.
|
|
|
|
# Mahali palipoinuka pa Tofethi
|
|
|
|
Hili ni neno la mahali ambapo wana wa Israeli walienda kuwatoa sadaka watoto wao kwa miungu ya uongo kwa kuwateketeza kwa moto.
|
|
|
|
# Kwenye bonde la Ben Hinomu
|
|
|
|
Hili ni jina la binde ambalo liko kusini mwa mji wa Yerusalemu, mahali ambapo watu walitoa sadaka kwa miungu ya uongo.
|
|
|
|
# kwenye moto
|
|
|
|
"kwenye moto kama sadaka"
|
|
|
|
# katika akili zangu
|
|
|
|
"na kikuwahi kufikiri hata kuliamuru jambo hili"
|
|
|
|
# kwa hiyo tazama
|
|
|
|
neno "tazama"linaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata."
|
|
|
|
# siku zinakuja
|
|
|
|
"katika siku za usoni"
|
|
|
|
# asema BWANA
|
|
|
|
Tazama 1:7
|
|
|
|
# hapataitwa tena
|
|
|
|
"watu hawatapaita"
|
|
|
|
# bonde la machinjio
|
|
|
|
"bonde la mauaji"
|
|
|
|
# watazika maiti
|
|
|
|
"watu wa Yuda watazika wafu"
|
|
|
|
# mpka eneo lote lienee
|
|
|
|
"hakuna eneo litalobaki"
|